Sunday

HAWA NDIO WASANII WALIOSOMA NA KWENDA SHULE PAMOJA


Ommy dimpoz mzee wa nai nai na baadae amesoma na super producer Mensen Selkta akiwa amemtangulia kidato kimoko pale Mbezi High school
Mesen Selekta yeye ni producer kutoka de fetality records lakini pia ni msanii ambae keshatoa pini kama kushoto kulia, na nyamnyamu.
Jaffarai amesoma na Jay moe kuanzia darasa la pili mpka la saba katika shule ya msingi Makumbusho iliyoka kijitonyama Dar-es-salaam

Juma Mchopanga a.k.a Jay moe
Mangwea mzee wa freestyle amesoma shule moja na Mez B, Noorah na Daki Master katika secondary ya Mazengo iliyoka Dodoma 
Mez B
Daki master
Noorah
Bob jr ambae pini lake la Nichumu limekamata nafasi ya kwanza ndani ya Top20 za Clouds wiki hii, amesoma na producer Nah Real ambae ameshatengenez pini kama Pea ya Nikki wa pili na zinginezo katika shule ya msingi Olympio.
Mzee wa Ndehe mtini Feruz amesoma na jamaa wa Born Cruz waliowahi kutoa ngoma iliyofanya vizuri iayoitwa kaka poa(wanamuita kaka poa huyu jamaa, wanamuita mtoto wa watu huyu jamaa) katika shule ya sekondari ya Makongo
Ben paul amesoma na Baghdadi Azania Secondary, lakini Ben Paul akiwa A level na Baghdadi akiwa A level
Baghdadi
Msanii Suma Lee amesoma na Producer Duke kutoka M lab katiska shule ya sekondari Sahare iliyoko Tanga huku Suma akiwa mbele ya Duke ki madarasa
Mh Temba kutoka kiumeni amesoma shule na Solo Thang, Rich one, Chidi Benz, Soggy Doggy, marehem Kanumba na Dazz baba katika shule ya sekondary ya Jitegemee iliyoko Temeke, Dar es salaam
Sollo Thang
Chidi benz
Marehem Kanumba

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.

Search This Blog