Thursday
NDOA YA HEMEDI YAKWAMA KISA ELIMU NDOGO
NDOTO kufunga pingu za maisha siku za karibuni alizokuwanazo nyota kutoka 'Bongo move' Hemed Suleiman 'PHD', zimeota mbawa kufuatia wazazi wa mlimbwende aliyetaka kumuoa kuweka ngumu.
katika mahojino mawili matatu Hemed amesema kuwa tayari alikuwa ameanza taratibu za kushughulikia ndoa yake na mrembo huyo iliyopangwa kufungwa kimya kimya kwa kuogopa watu wenye nia mbaya lakini amejikuta akilazimika kustisha harakati hizo kufuatia wazazi wa binti huyo wakaweka ngumu kwa madai kuwa wanataka mtoto wao amalize kwanza masomo yake na kupata 'mastaz' kwa kuwa elimu ya Degree aliyonayo hivi sasa wanahisi bado haijamtosha.
"unajua mchumba wangu hivi sasa ana elimu ya degree hivyo wazazi wamesema hawezi kuruhusujambo hilo kwanza mpaka apate 'mastaz' halafu ndiyo mambo mengine yatafuata, imeniuma sana kwa kuwa wenyewe tulishakubaliana na mwenzangu alikuwa tayari kwa hilo" alisema Hemed.
katika hatua nyingine Hemed amesema kuwa yuko katika hatua za mwisho kutoa muvi yake mpya aliyoibatiza jina la Mererani ndani yake akiwa amemshirikisha swahiba wake wa kitambo Yusuf Mlela sambamba na wakali wengine kibao wanaofanya kweli na Bongo move
SHUGHULI YA KUTAFUTA MAITI ZANZIBAR
Meli ya Mv SKAGIT ikimalizikia kuzama jana katika eneo la Chumbe Zanzibar
Shughuli ya kutafuta maiti kwenye ajali ya meli iliyozama nchini Zanzibar ilianza mapema jana huku watu takribani miamoja wakiwa bado hawajapatikana baada meli iliyokuwa inaelekea kisiwani Zanziabr kuzama eneo la Chumbe.
Meli hiyo ilitoka Dar Es Salam kuelekea kisiwani Zanzibar ikiwa imebeba watu miambili tisini.
Hadi kufikia sasa maiti 39 wamepatikana huku watu zaidi ya 150 wakiokolewa.
Msemaji wa polisi nchini Zanzibar aliambia shirika la habari la AFP kuwa kwa sasa kuna hofu ya kutopatikana manusura wowote waliokuwa katika meli hiyo ya MV Skagit
"shughuli ya kuwatafuta manusura na maiti inaendelea lakini kwa sasa ni vigumu kwa kweli kupata manusura." alinukuliwa akisema msemamji huyo wa polisi.
Tuesday
DULLAH WA PLANET BONGO AFIWA NA MTOTO WAKE WA KIUME.
Abdallah Hamis Ambua wengi tunamjua kwa jina la Mjukuu wa Ambua Mtangazaji wa kipindi cha Planet Bongo kutoka East Africa Radio & TV leo majira ya saa 9 alasiri amempoteza mwanae wa kwanza wa kiume kuzaliwa. Mtoto huyo ambaye alikuwa na siku moja toka kuzaliwa hiyo jana mchana.
Na haya ndio niliyoyakuta kwenye facebook ya Dullah
Hii ni status ambayo aliiandika jana mchana baada ya kupata mtoto na alikuwa na furaha sana na furaha hiyo nikampigia simu na kumpa hongera na kuanza kumuita baba na kumpa maneno mengi sana akiwa kama kijana mwenzangu ambaye yupo kwenye Ndoa
HII NDIO SHOW ILIYOFANYWA MJINI KIGOMA Leka Dutigite @ Lake Tanganyika Stadium,
Mh Zitto Zuber Kabwe akiongea na wananchi wa Kigoma
Lake Tanganyika Stadium ukiwa umetapika kwa wingi wa watu
Wabunge wakitgita
DIVA LOVENESS LOVE "ATAKAENIOA MAHARI SI CHINI YA MILIONI 500"
Mwana dadiva anaeendisha kipindi cha ala za roho ndani ya the people's station Diva loveness love hivi karibuni amefunguka alipokuwa akifanya kipindi cha xxl na mtu mzima Adam Mchomvu kuwa kwa yeyote atakae jitokeza kumuoa basi lazima awe na si chini ya shilingi millioni 500..Hii ni sooo baaaaaab!!!! JIPANGE
Kanye West Has A Special Cell Just For Kim?
Whaaaat??
He might not have a problem tweeting up a storm, but according to close sources, Kanye West "hates being tied down to technology."
Specifically? A cell phone.
We're hearing that Kanye never liked using a cell phone before Kim Kardashian came around. And since they started dating, Kim's apparently forced him to get one.
"It frustrated Kim. She had to call him through a bodyguard. [So] he only uses it for Kim!"
Inneresting… though we're having a hard time believing Kim was the one introducing Kanye to the future…
C'mon… it's Yeezy! Ring Ring! Hello!
[Image via WENN.]
Subscribe to:
Posts (Atom)