Thursday

P SQUIRE WAMPOTEZA MAMA YAO


Wasanii wakubwa nchini Nigeria na duniani kote, P-Square wamempoteza mama yao mzazi Mrs Okoye usiku wa kuamkia leo nchini India alipokuwa amepelekwa kwa matibabu baada ya kuhamishwa kutoka katika moja ya hospitali kubwa nchini Nigeria, St Nicholas iliyopo Yaba, Lagos.
inasemekana mama wa wasanii hao, alikua ni moja kati ya nguzo yao kubwa kimuziki kwa kuwapa ushauri na upendo usio na gharama yoyote.
arrangement zinafanyika ili kuurudisha mwili wa marehemu nchini Nigeria.

HEMED, MLELA: Hakuna kusubiri tena

NEW HIT: KigomAllStars - Leka Dutigite.



Kigoma All Stars MWASITI, BANANA ZORO, CHEGE, DIAMOND, ABDU KIBA, OMMY DIMPOZ, RECHO, LINEX, BABA LEVO, MAKOMANDO NA PETER MSECHU. 



Dhumuni na nia ya kutengeneza wimbo huu ni kuweka umoja wa watu wa kigoma na tanzania kwa ujumla. Pia watafanya show ndani ya kigoma wiki ijayo kwa ajili ya kusaidia wanafunzi na yatima ndani ya kigoma.

SOLO THANG aja na "MISS TANZANIA"


"JOGOO KICHAA"Aendeleza swaga la JAMBO SQUAD





                                        

Search This Blog