Saturday

MABESTE: HIZI NDIZO NGOMA ZANGU ZILIZOFANYA MPAKA MASHABIKI KUNIKUBALI KATIKA MUZIKI



PICHA YA WEMA SEPETU YAZUA GUMZO MITANDAO YA JAMII

Ikiwa ni mda mchache tu baada ya kupost picha zake zenye kuonyesha wazi sehem za tumbo na kifua kupitia Instagram, picha ya wema imeonekana kusambaa kwa haraka zaidi kupitia mtandao wa jamii "facebook" huku kila mmoja akitoa maoni yake kutoka na mtazamo wake. 
Obedy Bernard Hakika Ney wa mitego hakukosea, makahaba wenye vwango wako bongo move. Wema ni mfano tosha usio pngika kwa hilo. Halafu inakuwaje mwanatme mwenye akili zako umshobokee kahaba kama huyu? Yaani zkitoka tunzo za khb bora tz huyu malaya hatakuwa na mpinzani.

Timoth Kalavuze wema noma xnaa!!!

Hija Punch Boy Mbogo no one like you i love you wema sepetu waache waogee 2 kwamba wewr malaya kwangu wewe ni namba moja

Paul Shangal Hamna kioo cha jamii bali ktanda cha jamii


Shabbani Saidi daaaaaaaaa ujuwe dada zetu wana tabu sana naiyote kutaka kufosi kuwa maalufu kama watu wa mbele kumbe awajui kama wana jizalilisha kwani lazima uwe malufu na tama ina wapoza kk tuseme ukweli bwana

Mary Talalela usi judge na ku-coment bad about her mwache ahave funny nyie mnajua wake au magirlfnd zenu huwa wanafanya nini nyuma ya pazia ....? sibora wema .... i love u baby wema sana shoo what u have.

kupitia Instagram wema alipost picha hiyo ikiwa na maneno haya " gats to lose me a few more pounds"

PICHA:DIAMOND AKITANGAZA LIVE KIPINDI CHA COUNTDOWN NDANI YA CHOICE FM

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa msanii wa Bongo Fleva maarufu kama Diamond Platinum kwa kuwasha kipaza sauti na kuendesha show ya redio kwa masaa mawili live ndani ya choice Fm 102.5 Fm Hebu tune to Choice Fm today kuanzia hivi sasa 3pm-5pm.


BRANDTS AIONGOZA YANGA KATIKA MECHI YA 14 LEO

Brandts 

KOCHA Mholanzi, Ernie Brandts leo anatarajiwa kuiongoza Yanga katika mechi ya 14 tangu ajiunge nayo Septemba mwaka jana, akitokea APR ya Rwanda wakati itakapomenyana na Black Leopard ya Afrika Kusini katika mchezo wa kirafiki, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 
Yanga SC iliyorejea wiki Jumapili kutoka Uturuki kwenye kambi ya wiki mbili mjini Antalya, imekuwa ikijifua katika Uwanja wa Mabatini, Kijitonyama tangu Jumatano kwa ujumla kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. 
Yanga leo itakutana na Black Leopard inayoshika nafasi ya 12 katika Ligi Kuu ya Afrika Kusini yenye timu 16, iliyowasili jana Dar es Salaam ikiwa na msafara wa watu 42 na kufikia katika hoteli ya White Sands, Mbezi Beach, Dar es Salaam. 
Wachezaji wote walifanya mazoezi jana, kasoro kipa wa tatu, Yussuf Abdul na mshambuliaji Hamisi Kiiza 'Diego' wanaosumbuliwa na Malaria. 
Katika mechi 13 ambazo Brandts ameiongoza Yanga hadi sasa tangu arithi mikoba ya Mbelgiji, Tom Saintfiet, ameshinda saba, kafungwa nne na kutoka sare mbili. 
Kati ya hizo, mechi tisa ni za Ligi Kuu, ambazo amefungwa moja tu dhidi ya Kagera Sugar mjini Bukoba, wakati nyingine dhidi ya watani wa jadi, Simba SC alitoa sare ya 1-1 na saba ameshinda dhidi ya Toto African 3-1, Ruvu Shooting 3-2, Polisi Moro 3-0, JKT Oljoro 1-0, JKT Mgambo 3-0, Azam FC 2-0 na Coastal Union 2-0. 
Nyingine zote za kirafiki kama ya leo, Yanga walifungwa 1-0 na Tusker Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kabla ya kwenda Uturuki, ambako walianza kwa sare ya 1-1 Ariminia Bielefed ya Daraja la Nne Ujerumani, kabla ya kufungwa 2-1 na Denizlispor FC ya Daraja la Kwanza Uturuki na 2-0 na Emmen FC ya Daraja la Kwanza Uholanzi. 


REKODI YA ERNIE BRANDTS YANGA 
Yanga 1-1 Simba SC (Ligi Kuu) 
Yanga 0-1 Kagera Sugar (Ligi Kuu) 
Yanga 3-1 Toto African (Ligi Kuu) 
Yanga 3-2 Ruvu Shooting (Ligi Kuu) 
Yanga 3-0 Polisi Moro (Ligi Kuu) 
Yanga 1-0 JKT Oljoro (Ligi Kuu) 
Yanga 3-0 JKT Mgambo (Ligi Kuu) 
Yanga 2-0 Azam FC (Ligi Kuu) 
Yanga 2-0 Coastal (Ligi Kuu) 
Yanga 0-1 Tusker (Kirafiki) 
Yanga 1-1 Ariminia Bielefed (Kirafiki) 
Yanga SC 1-2 Denizlispor FC (Kirafiki) 
Yanga SC 0-2 Emmen FC (Kirafiki) Yanga SC Vs Black Leopard (Kirafiki)

HAYA NI BAADHI YA MAGAZETI YA LEO NA STORI ZAKE KUBWA.


.

.

.

.


.

.

.

.

.


.

.

Search This Blog