Mwana dadiva anaeendisha kipindi cha ala za roho ndani ya the people's station Diva loveness love hivi karibuni amefunguka alipokuwa akifanya kipindi cha xxl na mtu mzima Adam Mchomvu kuwa kwa yeyote atakae jitokeza kumuoa basi lazima awe na si chini ya shilingi millioni 500..Hii ni sooo baaaaaab!!!! JIPANGE
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.