Tuesday

DULLAH WA PLANET BONGO AFIWA NA MTOTO WAKE WA KIUME.

Abdallah Hamis Ambua wengi tunamjua kwa jina la Mjukuu wa Ambua Mtangazaji wa kipindi cha Planet Bongo kutoka East Africa Radio & TV leo majira ya saa 9 alasiri amempoteza mwanae wa kwanza wa kiume kuzaliwa. Mtoto huyo ambaye alikuwa na siku moja toka kuzaliwa hiyo jana mchana. 
Na haya ndio niliyoyakuta kwenye facebook ya Dullah

Hii ni status ambayo aliiandika jana mchana baada ya kupata mtoto na alikuwa na furaha sana na furaha hiyo nikampigia simu na kumpa hongera na kuanza kumuita baba na kumpa maneno mengi sana akiwa kama kijana mwenzangu ambaye yupo kwenye Ndoa

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.

Search This Blog