Thursday

VIWANGO VIPYA VA FIFA NDIO HIVI, SPAIN BADO INAONGOZA… CHEK TANZANIA ILIPO, MOJA TU YA AFRIKA NDIO IPO 20 BORA.!




.

Timu ya Taifa ya Spain imeendelea kukalia kiti cha uongozi wa ubora wa soka kwa mujibu wa viwango vya FIFA. Mabingwa ha wa dunia na ulaya wameshikilia uongozi huo wakiwa na pointi 1605, nafasi ya pili imekamatwa na Ujerumani, England wameendelea kupanda ubora kwenye rank hizo za FIFA bada ya mwezi uliopita kushika nafasi ya nne.

Brazil mabingwa wa mara tano wa dunia wameendelea kuweka rekodi, baada ya kushika nafasi ya chini zaidi katika historia yake, wakikamata nafasi 13, ikiwa ni mara ya kwanza kushuka kwa namana hiyo.

Ivory coast ndio pekee ya kiafrika kuwemo ndani ya 20 bora, wakishika nafasi ya 16. Timu ya taifa ya Tanzania imeshuka kwa nafasi moja kutoka nafasi ya 127 mpaka 128. (imeandikwa na mwandishi maarufu wa habari za michezo Shaffih Dauda wa Clouds Fm)


.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.

Search This Blog