Wakati harakati za kumsaka mrembo atakayekabidhiwa taji la Miss IFM 2012 zikiwa zinaelekea ukingoni, mashabiki na wapenzi wa industry hii ya urembo wameonekana kujawa na shauku ya kutaka kufahamu ni kipi hasa kitakuwa kipya ama cha kipekee katika mashindano haya
Mtanange wa kumtafuta mrembo atakeiwakilisha IFM katika mashindano ya
mrembo wa vyuo vikuu unaendelea na tayari mabinti wameiva kama
mnavyowaona.
...hapa ni maelezo kutoka kwa mwalimu kuja kwa washiriki na mpiga picha pia...
Hapo VP?
Warembo
watakaoshiriki shindano la Redds Miss IFM 2012 wakiwa kwenye pozi la
picha ya pamoja kwenye mazoezi yananyika kwenye ukumbi wa Break Point
Posta mpya jijini Dar Es Salaam kwenye maandalizi ya fainali
itakayofanyika kwenye fukwe ya Cine Club jijini Dar Es Salaam usiku wa
jumamosi ya 12/05/2012
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.