Diamond Platinum na jamii yake...
Awa mfano wa kuigwa kwa kusaidia yatima
Ni wasanii wangapi wanagonga kopi za kutosha na shoo kibao lakini husahau walikotoka? Bongo Artists take this aaand ACT.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond, baada ya kuwa na mafanikio
katika muziki wake ameanzisha mpango wa kusaidia jamii yake kama sehemu
ya shukrani kutokana na mafanikio hayo, ukizingatia jamii kwa kiasi
kikubwa ndiyo inayomsapoti.
hapa yeye mwenyewe (kulia) akitoa msaada wa vyakula na vitu vingine
kwenye kituo cha kulea watoto yatima cha Maunga kilichopo Kinondoni
Hananasif jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.